Queen Darleen – Kijuso Lyrics ft Rayvanny 51

Intro

Eyoo Laizer

Wasafi Records

Verse 1 

Loading...

Unaringa kitu gani we mwenyewe ujisute

Afadhali hata Nyani sio we Mwanamke

Hupendezi asilani so unyoe au usuke

Nilifuata kitu gani umefanya nijute

Hah

Mimi nakonda pungua eeeh na usikurupuke

Kwanza naongea na nani naomba nikumbushe

Mimi na wewe hatuendani jipandishe jishushe

Usinipande kichwani namba yangu ifute

 

Chorus

Hizo dharau mwanamke ulopata

Naona unasahau .. zako nilikata

Nimepanda chati mkataba nimekata

Tena Nyang’au ndo ukome kunifuata

Unaringa una nini kijuso

Vijimeno kama Jini Gaucho

Kwani nawe una nini Kituko

Uso na kazi mjini Upo upo

Punguza kelele ooh kelele acha kelele mama kelele

Punguza kelele baba kelele acha kelele bwana kelele

 

Verse 2

Eti nawe unavimba perfume tu mtihani

Kwanza shati ulovaa umeazima kwa nani?

Wanifuataa Kapuku utanipa nini?

Wanifuataa leo kimekuwasha nini?

Funga bakuli mbele yangu wewe mshamba

Nakujua vizuri toka unavaa mabwanga

Wakati unanuka moshi huna hata ishu

Kwenye pochi wanja na tishu

Unapenda ganda la ndizi kuteleza

Wakati kupambana mpaka mchuzi wa Pweza

Dume zima tantalantala instagram inahu

Wakati kwenu kula kulala huchangii hata kitunguu

 

Chorus

Hizo dharau mwanamke ulopata

Naona unasahau .. zako nilikata

Nimepanda chati mkataba nimekata

Tena Nyang’au ndo ukome kunifuata

Unaringa una nini kijuso

Vijimeno kama Jini Gaucho

Kwani nawe una nini Kituko

Uso na kazi mjini Upo upo

Punguza kelele ooh kelele acha kelele mama kelele

Punguza kelele baba kelele acha kelele bwana kelele

Unaringa una nini kijuso

Sijui meno kama Jini Gaucho

Kwani nawe una nini Kituko

Uso na kazi mjini Upo upo

Punguza kelele ooh kelele acha kelele mama kelele

Punguza kelele baba kelele acha kelele bwana kelele

Share
Theme developed by TouchSize - Premium WordPress Themes and Websites