Diamond Platnumz explains why he finally joined VeVo 50

I know you have been asking yourself why Diamond Platnumz as huge as he is never had a VeVo YouTube account, I know I did.

Well, the Tanzanian crooner came clean to address his reasons in a lengthy post on social media where he stated that for one to have a VeVo account on YouTube you need to have a huge following and command a huge crowd so that when the money comes in, it comes in abundantly.

He said the reason why he opted to join VeVo where it currently hosts his first video with international RnB singer, Ne-Yo is because he is going to earn even more money than he would have with his nominal YouTube account.

Loading...

He also urged other artistes to also be keen and vigilant to know how to market their music and not to be taken for granted by others so they have to do their research on every single thing they do so that they do not get exploited by other.

Here is what he wrote on his post for those who understands and can read Swahili

Kuna siku niliulizwa kwanini we haupo Vevo… Nikawambia: “uwepo wa msanii @VEVO anatakiwa msanii alipwe zaidi ya alivyokuwa analipwa kwenye Youtube channel ya kawaida.. Vevo wenyewe pia wamtambue kuwa kuna msanii anaitwa Nasibu Abdul aka Diamond toka Tandale, na pia anacholipwa msanii wa Marekani kwa view moja ama tangazo lolote liekwalo mwanzo ama lipitalo katikati pindi ya utazamaji wa video hyo basi nae anapaswa kulipwa hivyohivyo…na mbali tu ya kumlipa VEVO yapaswa kwa namna moja au nyingine kusaidia kupromote maana ni biashara yao wote na kila msanii ana shabiki zake na ukubwa na nafasi yake atokapo”…..hivyo nikawambia: “siku mkiniona nipo vevo basi jua nimeyakamilisha haya, vinginevyo wacha niendee kuokota senti mbili tatu, kwenye chanel yangu ya Youtube kawaida…. SABABU YA KUYASEMA HAYA: Ni kutaka kuwafahamisha ama kuwaamsha baadhi ya wasanii wenzangu watambue kuwa Mziki wetu hata kama hauko mkubwa saaaana ulimwenguni, ila Mwenyez Mungu kausaidia kuufikisha sehem flani, hivo wasanii lazma tujitambue na Tuwe na Misimamo na kazi zetu, vilevike umakini kwenye maamuzi ama hatua yoyote tutayoichkua juu ya sanaa zetu kwa sasa, maana tuliamualo leo linaweza kutujenga ama kutubomoa baadae… nafaham wasanii wengi hawakuwa wakilifaham hilo na badala yake kuingia @VEVO kupitia watu kati ama madalali na kuambulia status mtaani kuwa wako @VEVO ilhali nyuma kuna watu wanawadhurumu mamilioni ya pesa zitokanazo na jasho lao…” kwa uchungu wa kufaham namna gani inauma msanii ukinyonywa kazi yake ndio umenifanya nilizungumze hili leo, ila ukiona kwa namna moja au nyingine nimekosea Tafadhali mnisameh…? -SIMBA #malengo

Theme developed by TouchSize - Premium WordPress Themes and Websites